rapper snoop amekamatwa na gram 8 za madawa ya kulevya(marijuana) kwenye uwanja wa ndege wa Kjevic Airport in Kristiansand huko norway.pia alikuwa na kiasi kikubwa cha pesa kuliko kile kinachoruhuhusiwa kusafiri nacho kwenye ndege..hii ni mara ya pili kwa rapa huyu kukamatwa na madawa ya kulevya ndani ya muda wa mwaka mmoja.
SK NETWORK ,HOME OF FASHION,NYUMBA KUBWA YA FASHION EAST AFRIKA.,SEX,SWEET,HOT,FREESTYLE,ALL COLOUR,95%,VIWALO,WAREMBO,SUPERSTAR,WAZURI TU.
Showing posts with label burudani. Show all posts
Showing posts with label burudani. Show all posts
BREAK NEWS:madaktari wamshambulia mtu muhimbili
mtu ambaye hajafahamika vizuri kuwa ni afisa usalama ua la aliyekuwa akiranda randa maeneo ya muhimbili amejikuta akipata kipigo kutoka kwa madaktari na kuchaniwa nguo...mtu huyo ambae kwa sasa yupo kituo cha polisi pale hospitali muhimbili akihojiwa na maafisa wa usalama ....(taarifa hii imetolewa muda si mrefu ndani ya super mix ya EA radio).kaa nasi tutakupa taarifa zaidi juu ya sakata hili jipyaaaa....
half fashion
kweli kwenye punguzo hata mtu aambiwe aje uchi hukubali si bongo tu wapenda vya bure hata ulaya picha hizi ziko kibao nyingine kwenye blog zetu za masokoni.blogspot.com na totolabongo.blogspot.com ...cheki zote uone hii vituo vya ufaranca..
kim na kanye
kanye na kim
wapenz wapya wenye makeke ya kutosha hasa bi dada kim ni balaaa kwa vituko kama ingekuwa wanakaa huku bongo basi lazima kim angekuwa na pambana na wema hivi au uwoya ...maana mcharuko wake ni hatar tupu pande za obama
zanzibar yetu picha za vurugu
MIXTAPE 50 CENT inatoka kesho itaitwa the lost tape
kesho mtu mzima 50 cent ataachia mixtape yake ya lost tape kwenye mtandao hivyo kwa wale wote wapenzi wa 50 cent jiandaeni kudaka mixtape yenu fastaaaaaaa.........ifikapo keshooooooooooooo
50 cent collaboration na wiz khalifa
drogba aigaa chelsea ...barca wala patupu..
drogba aigaaa chelsea na kasema naha mpango kabisa wa kwenda huko barca kama tetesi zinavyosemaa..ila wataalamu wa mambo wanasema inawezeka mkubwa drogba akakimbia uharabuni akamfuata kijana mwenzeka anelka............maisha marefu broooooooooooooo
drobga aipa ushindi chelsea UEFAAA (ANgalia matokeo yote hapa)
robben jamaa akikosa penati hapooooooooo
haya sasa baada ya peter cech kuokoaaa penati ya robben kila kitu kimebaki historia sasa......sasa nani atashinda kwenye penarti za leooooooooooooo makipa wote ni noma tumatokeo ya pernati
lakwanza hilo la keteniiiiiiiiiiii penartii munich
mataaaa anakosa penartiiiiiiiiiii
gomez sasa kafungaaaaaaaaaaaa...........
luiz anapata penartiiiiiiiiiiiii ............
golkipa munich loya anapataaa goli.....
lampard anapata penartiiiii
olich anakosa penarti.......
ashely cole anapata penarti.......
taigaa anakosa penarti...
Drobaaa ashindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
HIP HOP inakufa U.S asema T.I
Subscribe to:
Posts (Atom)











































