.

BREAK NEWS:madaktari wamshambulia mtu muhimbili

mtu ambaye hajafahamika vizuri kuwa ni afisa usalama ua la aliyekuwa akiranda randa maeneo ya muhimbili amejikuta akipata kipigo kutoka kwa madaktari na kuchaniwa nguo...mtu huyo ambae kwa sasa yupo kituo cha polisi pale hospitali muhimbili akihojiwa na maafisa wa usalama ....(taarifa hii imetolewa muda si mrefu ndani ya super mix ya EA radio).kaa nasi tutakupa taarifa zaidi juu ya sakata hili jipyaaaa....
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...