leo nilikuwa mitaa ya kiwalani minazi mrefu nikakutana na huu ujumbe katika ofisi ya mwenyekiti wa mtaa ningependa ni share na wadau wote wa blog yetu na hasa hawa wanachama wa ccm na chadema wajue ujumbe huu kwa makini .....ukiwa unafanya kitu kwa mfumo huu huji kufanikiwa milele..zingatia huuu ujumbee....kuwa makini kila dakika....michuzi michuzi ya leo ndo hiyoooo.......msg send.........ok