.

WALIMU TANZANIA WAANZA KUGOMA RASMI KUANZIA LEO


taarifa rasm kutoka kwa viongozi wa chama cha walimu tanzania zinasema  kuwa mgomo wao usio na kikomo unaanza leo rasmi  kutokana na kushindwa kufikia muafaka kati yao na muajiri wao ambaye ni serekali.walisisitiza kuwa mgomo wao hauto adhiri  sensa inayotarijiwa kufanyika tarehe 26 na kushirikisha kwa kiasi kikubwa walimu kama wadodosaji.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...