.

NBS WATANGAZA NAFASI ZA KAZI...


Tangazo La Kazi Ya Muda Katika Mradi Wa Sensa Ya Watu Na Makazi Ya Mwaka 2012

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inakamilisha maandalizi ya kufanya Sensa ya Watu na Makazi ambayo itafanyika tarehe 26 Agosti, 2012. Ili kufanikisha Sensa hii, Serikali inatangaza nafasi za kazi za muda za MAKARANI NA MAKARANI WAANDAMIZI WA SENSA kwa Watanzania wenye nia na sifa zinazostahili kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Kazi hii itaanza tarehe 06 Agosti, 2012 na kumalizika tarehe 14 Septemba 2012.


tembelea www.nbs.go.tz

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...