.

MELI YAZANA ZANZIBAR


Waokowaji wamefika eneo la tukio

Mv Karama ikiwa abiria 200 tayari juhudi za kuwaokowa wahanga wa meli hiyo zimeanza na tayari mamlaka husika zimeanza kuchukuwa hatuwa za kuwaokowa ikishirikiana na kampuni mbali mbali za usafiri wa baharini.

Muandishi wa ITV Farouk Karim akiwa katika eneo la tukio ameeleza kuwa ameona life jacket zikieleya majini zikiwa hazina watu na baadhi ya vifaa, na mtu mmoja ameokolewa akiwa hai.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...