.

snoop dog dog akamatwa na dawa za kulevya norway

rapper snoop amekamatwa na gram 8 za madawa ya kulevya(marijuana)  kwenye uwanja wa ndege wa Kjevic Airport in Kristiansand  huko norway.pia alikuwa na kiasi kikubwa cha pesa kuliko kile kinachoruhuhusiwa kusafiri nacho kwenye ndege..hii ni mara ya pili kwa rapa huyu kukamatwa na madawa ya kulevya ndani ya muda wa mwaka mmoja.

USIKOSE SABA SABA

sokoni kariakoo

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara





Taarifa zilizotufikia zinadai kuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara amepata ajali ya gari wakati akielekea jijini Mwanza leo. Waziri Mukangara amepata ajali hiyo mkoani Tabora wakati akielekea jijini Mwanza kwa shughuli za wizara yake. Gari la Mukangara limegongana na basi la Green Star na waziri huyo amelazwa kwa matibabu. Taarifa zaidi zitawajia baadae.kwa hisani ya global publisher

zilizotufikia hivi punde(tTegeta ni Vita)

 Mabomu, risasi zarindima Tegeta ambapo watu wawili wanahofiwa kupoteza maisha katika vurugu zilizotokea huko Tegeta Kibaoni jijini Dar es Salaam baada ya wananchi kubomolewa nyumba zao.tutakupa taarifa zaidi pindi zitakapopatikana..

furniture

je wewe ni fundi furniture au una show room ya furniture wakati wako ndo huu..leta picha zako na maelekezo tukuunganishe na wateja moja kwa moja..

duka la spare

kama una duka  la spare popote pale ndani ya tanzania akikisha unatutumia picha zako na maelekezo lilipo tukuunganishe na wateja moja kwa moja...

safiri na air Tanzania


tiketi za meli



tunawakaribisha makampuni yote ya meli kutangaza  nasi...........hii ni meli ya azam inayobeba abiria na mizigo kwa pamoja.

serena hotel



zamani movenpick hotel...kwa wazee wa matumizi nadhani mnapapata vizuri tu hapa sehemu tulivu.ya marahaa ... je una bar ,lodge,guest house au motel..leta picha tu share hapaaa... sasa.

nyumba ya kupangisha

je una nyumba au vyumba vya kupangisha au wewe ni dalali usisite leta picha zako au maelezo yako uwafikie mamia kwa maelfu ya watazamaji wetu..

vyuo na college

je una chuo au college na unahitaji wadau wakijue fanya hima tutumie taarifa kamili  kwenye e-mail yetu sasa....sokonikariakoo@gmail.com

vifaa vya ujenzi

vifaa vya ujenzi kwa faida ya taifa zima je wewe unavyo vya bei nafuu na bora kuzidi hivi hapaa...leta picha mahali  unapouzia tukutangaza na uwafikie wateja wengi kwa mara mooja e- mail yetu ni ile ile sokonikariakoo@gmail.com.

duka la vyombo vya jikoni



je una duka  vifaa vya jikoni.....leta picha zako fasta na maelekezo lilipo tuweze ku connect na maelfu ya watejaa ....changamka biashara matangazo ....e-mail sokonikariakoo.blogspot.com

show room

je una show room ya magari...leta picha na maelekezo yaote kwetu tuku connect na wanunuzi sasa....e-mail us sokonikariakoo@gmail.com

NEW STYLE & DESIGNS.....@DORIS FASHIONS

YESSSS NI HAO HAO 
DORIS FASHIONS
 WAMESHUSHA DESIGN NA STYLE MPYA ZA FUNGA NA KUFUNGUA MWAKA.....WAMETAMBULISHA VIVAZI VYA MA -MAIDS,NGUO YA SENDOFF NA KITCHEN PARTY NA ZA RECEPTION ZA BI HARUSI BILA YA KUSAHAU YA MAMA,DADA,MASHANGAZI NA WANAKAMATI PAMOJA NA WAALIKWA
WACHUNGULIE KAZI ZAO ZILIZOPITA 
WANAPATIKANA::MIKOCHENI JUNTION ROSE GARDEN/TWIGA ROAD 

MAWASILIANO::+255 755 744 665


NEW ARRIVALS @ BRILLANTE MENS BOUTIQUE

HAYA WADAU MAMBO YA MASHEMEJIII YA NDO HAYA YA KUFUNGIA MWAKA NIBRILLANTE  MENS BOUTIQUE 
MAY FAIR PLAZA 
 AMBAPO SASA HIVI WAMESHUSHA MZIGOOO MPYAA TOKA
 ITALY......UTURUKI....NA MAREKANI.....
NI MWENDO WA SUTI, MASHATI,JEANS,TSHIRT,LINEN,RABA ZA UKWE'E KUTOKA MAREKANI YENYE CHATA ZA UKWE'E MBALI KUNA SANDOZ ZA NGUVUUU MAMBO YA WIKI END (unaacha vidole vipunge upepo)

WANAPATIKANA::MIKOCHENI,JENGO LA MAY FAIR PLAZA
WASILIANA NAO::+255 652 222324
EMAIL::briliantewear@gmail.com




vipodozi

make up

SHOW KALI

UCHUNGUZI KUHUSU SAKATA LA ULIMBOKA INABIDI UFANYIKE HARAKA IWEZEKANAVYO.





TUME YA HAKI ZA BINADAMU IMESITUSHWA SANA NA KITENDO CHA KINYAMA ALICHOFANYIWA DR ULIMBOKA ,,TUME HIYO YA HAKI ZA BINADAMU NA WANAHARAKATI WENGINE WAMEOMBA UFANYIKE UCHUNGUZI WA HARAKA ILI KUJUA NANI KAHUSIKA NA SAKATA HILI NA ACHUKULIWE HATUA STAHIKI MARA MOJA..

Picha za DR ULIMBOKA.




KAULI TOKA SK-NETWORK KUHUSU SAKATA LA DR ULIMBOKA

KAMPUNI YA SK-NETWORK IMEPATA TAARIFA ZA KUPIGWA NA KUJERUHIWA VIBAYA DR ULIMBOKA KWA HUZUMI KUBWA SANA WAKATI HUU MAMIA KWA MAELFU YA WATAZANIA WAKIWA WANATESEKA KWA KUKOSA HUDUMA BORA ZA AFYA NA WAKUNGA WAKIPATA SHIDA KUHUDUMIA JAMII BILA KUWA NA VIFAA VYA KISASA NA MISHAHARA MIDOGO..TUNAOMBA WATAZANIA WAFUNGE NA KUMUOMBEA DR ULIMBOKA APONE MAPEMA NA KUWEZA KUENDELEA NA KAZI YAKE  YA KUTETEA MASILAHI YA MADAKTARI NA WANANCHI KWA UJUMLA MAANA HAKUNA NCHI DUNIA ILIYOFANIKIWA BILA KUWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA NA THABITII...SK-NETWORK INAKUAHIDI ITAENDELEA KUKUPA TAARIFA KUHUSU SAKATA HILI KILA TUTAKAPOPATA TAARIFA.....KWA SASA DR ULIMBOKA ANATIBIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI.......ASANTENI....

BREAK NEWS:DOKTA ULIMBOKA APIGWA NA YUKO MAHUTUTI

SAKATA LA MADAKTARI LAZIDI KUWA KUBWA BAADA YA WATU WASIJULIKANA KUMKATA DOKTA ULIMBOKA NA KUMPIGA NUSURA YA KUMUUA NA KWENDA KUMTELEKEZA MAENEO YA MWANGEPANDE ...WATU HAO WALIOKUWA WAKIMLAUMU DOKTA HUYO KWA KUWASUMBUA NA KUUPA KAMA WANGEKUWA NA SINDANO YA SUMU WANGEMPIGA AFEE...WALIMCHUKA NA GARI LILIKUWA HALINA NAMBA NA KUFUNIKA KITAMBAA NA KUMPA KIPIGO KITAKATIFU NA KWENDA KUMTUPA HUKO MWANGWEPANDE ...KWA SASA YUPO MOI AKIPIMWA NA MADAKTARI WEZAKE ...KA NASI TUKUABARISHEEEE.......................(habari hii ni kwa hisani ya radio EA AFRIKA )

BREAK NEWS:madaktari wamshambulia mtu muhimbili

mtu ambaye hajafahamika vizuri kuwa ni afisa usalama ua la aliyekuwa akiranda randa maeneo ya muhimbili amejikuta akipata kipigo kutoka kwa madaktari na kuchaniwa nguo...mtu huyo ambae kwa sasa yupo kituo cha polisi pale hospitali muhimbili akihojiwa na maafisa wa usalama ....(taarifa hii imetolewa muda si mrefu ndani ya super mix ya EA radio).kaa nasi tutakupa taarifa zaidi juu ya sakata hili jipyaaaa....

SHUKRANI KUTOKA SK-NETWORK

SK-NETWORK ni mtandao bora na wa kisasa unaomilikiwa na vipeperushi company .kampuni inayohusika na utoaji na usambazaji wa vijarida vya matangazo nchini Tanzania inawatangazia umma wa watanzania kuwa wako katika hatua za mwisho za kubora huduma zao za matangazo ya hewani na nchi kavu(usambazaji wa vijarida)kuwa ya kisasa na kuwafikia watanzania milioni 1 ndani na nje ya nchi yetu.Hivyo basi tunafuraha kubwa kuwataarifu watazamaji wa blog zetu  kuwa tunaendelea kukuwa na kwa sasa tunatazamwa na watu wengi kutoka ndani na nje ya mpaka yetu.Tunakushukuru wewe mtazamaji wetu kwa kuchukuwa muda wako kuwaambia  jamaa,ndugu,marafiki nawapendwa wako kuhusu mtandao wetu  na jinsi ya kuupata ili nao waweze kupata habari na kuhabarika kwa haraka.Ili adhima yetu iweze kutimia ya kuwafikiwa watanzania milioni 1kwa siku. Tunakuomba uendelee kuwataafifu na jamaa wengine ambao kwa namna moja au nyingine hawajafikiwa na taarifa kuhusu SK-NEWORK.
Kumbuka kwa sasa SK-NETWORK inatoa ofa ya kutangaza bure kwenye blog yake ya masokoni.blogspot.com.changamkia fursa hii sasa kabla ofa haijaisha.

waziri mwinyi awatishia madaktari



waziri wa afya amewaambia madaktari watakoendelea na mgomo wao watakuwa wameikiuka mahakama iliyoamrisha kusitisha mgomo wa madaktari...onyo hili limetoka baada ya madaktari kuanza ngomo wao kuanzia jana jumapili katika hospitali mbalimbali za umma hapa nchi....hi si mara ya kwanza kwa madaktari kuamuua kugoma  wakishinikiza serekali iwaongezee mshahara na mahitaji mengine pamoja na kuboresha mazingira yao ya kazi..na mengine mengi kama kupatiwa nyumba za kuishi maeneo yakaribu na vituo vyao vya kazi..

essien welcome back home





huyu jamaaa kwa kuchagua achana naeee unaonaje hicho kifaaa kilikuwa kinamkaribisha hapo jamaaa alipowasili sikanii ghanaaa

michael essien na nadia buari wakikiss ..

jamaaa anakaribishwa home hivyo na mtotooo..chezeaaa ustar raha mida mingineee

korea flava nomaa check out..mikatoo




sokoni kariakoo

PAPA KATOA TAMKOOOO KUHUSU NIGERIA

STop Spilling Blood of Innocent People – Pope





VATICAN CITY (AFP) – Pope Benedict XVI called ,Wednesday, on those responsible for violence in Nigeria to “stop spilling the blood of innocent people”, and urged all parties involved not to seek revenge.
“I appeal to those responsible for the violence to immediately stop spilling the blood of innocent people,” he said, following attacks on churches in northern Nigeria and reprisal violence that saw Christians target Muslims.
Pope Benedict XVI waves as he arrives for his weekly general audience at the Paul VI hall at the Vatican on June 20, 2102. AFP PHOTO
“I hope all parts of society will collaborate in not taking the road of reprisals,” Benedict said during a weekly general audience.
Sunday’s attacks against churches, claimed by Islamist group Boko Haram, and a wave of revenge attacks that followed, were the latest in a series.
In front of 8,000 faithful gathered at the Vatican, the pope appealed on “all Nigerian citizens to cooperate in the construction of a peaceful and reconciled society in which the right to freely express faith is guaranteed.”
Nigeria’s main Christian body on Tuesday said the attacks by Boko Haram suggested a “systematic religious cleansing”.
There have been renewed concerns over whether the violence could lead to a wider sectarian conflict in a country roughly divided between a mainly Muslim north and mostly Christian south.
Boko Haram’s demands have varied, prompting speculation that the group is composed of disparate cells, including a hardcore Islamist wing.
The extremists have previously said they intended to create an Islamic state across the mainly Muslim north of Nigeria, Africa’s most populous nation of 160 million and the continent’s largest oil producer.

mnyika kafafanuaaa kauli zakee

Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu. Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.
Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba. Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais anamamlaka ya kumuamrisha waziri wa fedha aiondowe bajeti……kwa hisani ya global publisher.



Multiple Bombing: Allah Has Given Us Victory Over Christians + Christians must all convert to Islam---Boko Haram


The Jama’atu Ahlus Sunnati Lidda’awati Wal Jihad, otherwise known as Boko Haram has claimed responsibility for the bombing of three churches that claimed about 50 lives and scores injured in the northern cities of Zaria and Kaduna on Sunday. Thanking Allah for giving them victory in carrying out their task.

The sect spokesperson, Abu Qaqa in a statement said the multiple attacks was a reprisal of Christians’ past killings of Muslims and vandalism of Mosques in Zonkwa, Yelwan Shendam, Tafawa Balewa, where they said Mosques were turned into brothels and drinking joints, while Christians continue to carry on with impunity and government support.

The however affirmed that for peace to reign, Christians must all convert to Islam.

In the statement, it reads, “today (Sunday) Almighty Allah has given us victory against Christian Churches in Kaduna and Zaria which led to the deaths of many Christians and security operatives.”

The statement also claimed that Almighty Allah has tasked all Muslims in Quran chapter 9 v 29 to launch attack against Jews and Christians who refused to believe in him, his messenger, Prophet Mohammed.The radical sect also affirmed that attacks against Christian children and women would continue, since security personnel now attack their women and children.

kwa hisani ya nigeria media

Blame Legal Immigrants Like Me for Taking Your American Jobs

I am probably the only immigrant willing to admit that we are to blame for America's high unemployment. But it is not undocumented immigrants like the ones whose children President Barack Obama said he's not going to deport who are taking your jobs away. Believe me, you don't want the jobs those immigrants do. It's legal immigrants like me you should be blaming for your plight.
Soon after I arrived from Kenya nearly 20 years ago, I began to work in the kind of jobs you'd expect a new immigrant to take. I scrubbed pots and pans, floors, and toilets at various restaurants. I stocked supermarket shelves. I guarded buildings and parking structures. And I scrubbed pots and pans, floors and toilets again.

Unsatisfied, I registered with a temporary staffing agency in California's Silicon Valley. Because I had no experience, the only jobs they could give me lasted between a couple of weeks and three months. But they all added up and gave me the experience I needed, and before long, I had a one-year contract assembling computer hard drives at IBM. My next job was at Applied Materials, one of the largest corporations in Silicon Valley.

Instead of bussing tables and driving hotel shuttles, dealing with irrational customers who thought that just because I spoke with an accent I was an idiot, I was driving forklifts, taking warehouse inventory, using computers, and attending daily meetings. I was getting paid overtime. I was living the American dream. But shortly after, a series of unfortunate things began to happen to make me question my understanding of what the American dream was.

It began with my first layoff from Applied Materials, after one year on the job. Fortunately, the economy picked up fast and they called me within a few months. During my second stint I climbed up the ranks to become a supervisor. Life was good. Seeing no need to go to college, I dropped out.

But then 9/11 happened.

Two months later, I was jobless again. A few months after, they called me back again, this time through the same temporary staffing agency that had opened my door to Silicon Valley. When in 2003 they told me that they'd be letting me go a third time, I knew there had to be a better way.

I could have applied for another warehouse job elsewhere like most of my American coworkers, but I was tired of being kicked around. Instead, I decided to take a hard look at my life. I began by asking myself why I had come to America. If all I ever wanted to be was an unskilled laborer, did I really have to leave Kenya?

I came to America to get something no one in my family had ever had: a college degree. Anything less would have been unacceptable. I returned to college, got my bachelor's degree, and later went to graduate school.

My story is not unique. That is the path many immigrants take. The ultimate goal of many of them -- even those who are undocumented -- is to earn a degree from an American college.

We refuse to accept that a life spent in an unskilled job is a lifetime in the American dream. To us, such jobs are launching pads to greater things -- transit vehicles to the American dream. Even when we come to America in our 30s and 40s, we are not afraid to enroll in college, or to acquire some form of formal training. Tell us that you won't recognize the degrees we acquired in our countries of origin and we'll start college afresh. Because of this spirit, we are lawyers, professors, doctors, scientists, inventors, nurses, teachers, engineers, and entrepreneurs.

You remind us every day that this is the land of opportunity. You wave your flag and tell us that this is the best country in the world.

We agree.

It's about time you started believing in what you tell us about America. Instead of demonizing the defenseless guys breaking their back to get food to your supermarkets, demand that legal immigrants like me give you back your jobs. But to get them, you must work as hard as we have to qualify for these jobs.

It's a shame that many Americans think that what makes America great is the fact that one needs not have a college degree -- that the dream is to sit back and demand that some government bureaucrat create a job for you.

Talk about handouts!

We immigrants are often shocked when we learn that a majority of Americans have never been to a college classroom. That needs to change, if this is country is to remain great.

The choice is yours: You can work as hard as we immigrants have, and take maximum advantage of this country's abundant educational opportunity, or you can take the easy way out and continue to moan about undocumented immigrants. (They aren't going anywhere, so there is plenty of time for you to use them as scapegoats).

You can start by demanding that your government invest more in your children's education, and less in foreign wars -- many of which have created the unbearable conditions that have forced us to flee to America to take your jobs. Until then, we'll continue utilizing the wonderful educational institutions your hard-earned tax dollars have built and continue taking your jobs. 

Writer and humorist Edwin Okong'o teaches at the University of California, Berkeley. He invites American children to his classroom so they may one day reclaim their jobs from immigrants.

mapesa ya safari za JK yatoweka

SERIKALI imeanza uchunguzi wenye lengo la kubaini kama maofisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walifuata taratibu kutoa  Hazina Sh3.5 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya safari za Rais Jakaya Kikwete ndani na nje ya nchi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa, Bernard Membe alisema jana kuwa fedha zinazochunguzwa ni zile zilitolewa kati ya Machi Mosi na Machi 8, mwaka huu kwa ajili ya safari za Rais Kikwete kwenda Geneva, Brazil, Adis Ababa na Arusha.

Wiki iliyopita gazeti moja la kila wiki liliripoti kuwa maofisa watano wa wizara hiyo wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa kwa ajili ya safari za rais kutoka benki moja nchini.

Fedha zilizotolewa kutoka Hazina ni Sh 3.5 bilioni wakati zilizokuwa zimepangwa kwa safari hizo ni Sh2 bilioni.Fedha hizo zinadaiwa kutolewa Hazina na maofisa waliokuwa wakikaimu nafasi mbalimbali, katika wizara hiyo.

Waziri Membe alisema wakati tukio hilo likitokea, yeye, naibu wake, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Mhasibu Mkuu walikuwa safarini na kwamba nafasi zao zilikuwa zinakaimiwa.“Waliokuwa wanakaimu wali-process (andaa) fedha za safari pamoja na hazina, na fedha zikapatikana tarehe 8,” alisema Membe na kuongeza kuwa;

“Ofisa Masuhuri hakushirikishwa na uchunguzi wa kamati unaendelea ili kujiridhisha kama taratibu zote za kiutawala zilifuatwa,” alisema.

Alifafanua kwamba tayari walifanya uchunguzi uliohusisha Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Usalama wa Taifa na wakaguzi wawili kutoka wizarani hapo.“Hakuna tuliyemshuku ama kumuita mwizi kwa sababu hakuna hata fedha iliyoibwa, zote ziliingia kwenye akaunti ya wizara na nyingine zililetwa wizarani,” alisema.

Waziri huyo alisema uchunguzi wa kamati unaoendelea, sasa unalenga kuangalia kama taratibu zilifuatwa na wale waliokuwa wanakaimu.“Uchunguzi wa kamati utakapokamilika na kubainika makosa yalikuwa wapi utawekwa hadharani,” aliahidi.
Utabiri wake Chadema

Akizungumzia taarifa za kuitabiria Chadema ushindi mwaka 2015, Membe aliwatuhumu watu aliowaita maadui wake kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema wameshiriki kumlisha maneno ya kukitabaria ushindi chama hicho kikuu cha upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

"Kuna taarifa za mimi kutabiria ushindi Chadema 2015. Naomba niseme kitu kimoja, kama kuna mtu anajua mimi niliwahi kufanya utabiri ajitokeze. Mimi siyo TB Joshua wa Nigeria, mtoto wa marehemu Shehe Yahaya au (jina la kampuni moja ya kimataifa)...ambao wao kila mara ndiyo hufanya utabiri," alisema Membe huku akionekana kuchukizwa na taarifa hizo.

Membe alifafanua kwamba, ni kweli alikutana na ujumbe wa Chadema nyumbani kwake jimbo la Mtama, mkoani Lindi na kufanya nao mazungumzo, lakini hakuwahi kutabiri kwamba chama hicho kikuu cha upinzani kingeweza kushinda mwaka 2015.

"Nikweli nilifanya mazungumzo na Chadema walipokuja jimboni kwangu Mtama. Tena walikuja bahati nzuri walikuta chakula cha mchana tayari, nikawakaribisha vizuri. Wapinzani si maadui, yaani watu walitaka niwafukuze chakula. Najua kuna watu hawakufurahia kuwaalika Chadema kuja kwangu," alisema Membe na kuongeza;

"Ni kweli niliongea nao. Niliongea nao mambo matatu, kwanza niliwapongeza kwa kujipenyeza hadi vijijini. Niliwaambia, ni vema mmetambua umuhimu wa kufika hadi vijijini maana mwaka 2010 mlilalamika kuibiwa kura wakati vijijini mlikuwa hamjafika. Lakini pia, nikawambia ni vema wametambua umuhimu wa kuanza kufanya siasa kwa kujenga hoja na tatu, nikawambia nyie fikeni vijijini sisi kina Membe hatujaanza kutimua vumbi."

Alifafanua kwamba, anaamini watu wa Chadema waliokuwapo katika mkutano huo ambao ni pamoja na Dk Slaa na Lema hawawezi kuzusha taarifa hizo zilizotolewa na kuongeza, "Nimesoma vizuri Political Science, adui wa kisiasa katika chama siku zote yumo ndani ya chama hicho. Kwa hiyo hata hili naamini limetoka kwa baadhi ya maadui ndani ya CCM na kwa Chadema ni maadui wa Chadema."  

Kuhusu APRM

Katika hatua nyingine, Membe alisema taarifa ya Tanzania kuhusu utekelezaji wa Mpango wa Kujitathmini wa Umoja wa Afrika (APRM), itajadiliwa mwakani nchini Addis Ababa.

Licha ya waziri huyo kukiri kwamba Tanzania inadaiwa dola za Marekani 800,000 za ada, alisema hiyo si sababu ya taarifa ya Tanzania kutojadiliwa mwaka huu kama ilivyotarajiwa.

Rais Kikwete alitarajiwa kuwasilisha ripoti ya Tanzania kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU), utakaofanyika Lilongwe, Malawi Julai 10 mwaka huu, lakini haitafanyika hivyo.
Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti kuwa Rais Kikwete amezuiwa kuwasilisha taarifa ya Tanzania kutokana na deni hilo.

“Walitakiwa wajadili taarifa ile halafu walete maswali tujibu ndipo wataandaa taarifa ikajadiliwe,” alisema Membe na kuongeza;

“Watu wa APRM hawajaja, hivyo itajadiliwa katika mkutano wa Addis Ababa mwaka 2013,” alisema.
Tanzania inadaiwa dola za Marekani 800,000  deni ambalo ni malimbikizo ya ada ya dola 100,000 kila mwaka, kwa miaka minane mfululilizo tangu mwaka 2005.

“Mara kwa mara tumekuwa tukiwakumbusha Hazina kuhusu deni hili na si kwamba ndilo limezuia,” alisema. 






habari ni kwa hisani ya gazeti la mwananchi.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...