.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara





Taarifa zilizotufikia zinadai kuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara amepata ajali ya gari wakati akielekea jijini Mwanza leo. Waziri Mukangara amepata ajali hiyo mkoani Tabora wakati akielekea jijini Mwanza kwa shughuli za wizara yake. Gari la Mukangara limegongana na basi la Green Star na waziri huyo amelazwa kwa matibabu. Taarifa zaidi zitawajia baadae.kwa hisani ya global publisher
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...