.

SK NETWORK

SK NETWORK
SK Network,mtandao mkubwa kuliko mitandao yote ya Blogs Afrika Mashariki na Kati,ikiwa na blogs zaidi ya 20 (ishirini) zinazotoa huduma mbali mbali ,SK NETWORK  imekuwa kituo kikubwa cha habari ambacho  hakijawahi tokea Afrika.Uwingi wa blogs zake na uwingi wa watazamaji wake kila siku SK network ipata nguvu ya kukuwa na kutanuka siku hadi siku.
Ubunifu uliotukuka wa maazilishi wa SK Network ndugu Frank Lyimo unafanya network hii kuwa network ya kwanza kutazanwa  sana vijana ambao ndo chachu ya ukuaji wa taifa lolote lile.
Sk network ilianza kazi rasm mwaka 2008.
Kuwa mdau wa sk kwa kujiunga na page yetu ya FACEBOOK ,bonyeza hapo chini:
Pia unaweza kutupata kwenye twitter,bonyeza hapo chini:

“SK ni network kubwa kuliko network zote Afrika”
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...