.

Peter mutharika kaka wa Bingu wa mutharika kugombea uraisi malawi 2014

baada ya Bingu wa mutharika kufa na urais wa nchi ya malawi kuchukuliwa na mwana mama ambaye alikuwa makamu wa rais kipindi cha uhai wa bingu sasa kaka mtu kasema ana nia sabiti ya kugombania urahisi mwaka 2014 kwa tiketi ya chama cha DPP na kwa hakika anaapa kuwa ni lazima chama chake kitachukua ushindi na kuingia ikulu ili akamalizie na kuendeleza yale aliyoyacha mdogo wake.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...