.

israel wawasulubisha msalabani waafrika:wayahudi noma sana.


hawa jamaa walimsulubisha Yesu kristu msalabani sasa wameahamia kwa waafrika ambao wengi ni watu toka sudani ya kusini na somalia wanawaita saratani ni lazima waondoke kwenye nchi ya weupi tu ....wao wamekuja kuchafua nchi ....sisi huku tunawanyeyekea kama nini weupeee ..wakati kwao wanatutimua hali kweli....ndugu zetu wanakufa huko israel ..tuweni makini..tuache kukimbiilia mambo tusiyoyajua ulaya ulaya unakimbilia utaenda kufa huko bure...tutulizane hapa hapa bongooooooooooooooooooooooo..........sawa wapendwaaaa

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...