.

freemason ni hatari sana usiigeee?????



mashetani ya dunia ni haya ma freeemaso..achana nao kabisa utapotea utaishia kuwa na kistalet na unakufa wanakukausha wanakufanya nyama na kichwa chako kinakuwa situli ya kukalia wengine. unatuacha watu tunakula bata kwa pesa zetu za jasho (pesa za kukomaa).nyiee mnapenda kulala  kulala sana  huku mnapenda vitamu mle pia ingawa hamtaki kutafuta  pesa zenu.. mtakufa na hawa jamaa hawana dogo ..ni waganga wa kienyeji wanaovaa sutiiii..Mungu awalaani hawa wazungu washirikina watumikia shetani.............
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...