.

nini dhambi kwa mwenye dhiki???

chadema na ccm mnajua mnao wawakilisha au mnapiga tu mbembe mbembe.....kitaa kina njaa sanaa wanasiasa acheni utani utani fanyeni kazi inayoonekana huko maji hakuna umeme bae na mgao unakujaa...hakuna kitu tunakomaa lakin hatufanikiwi.............hii ni vita mazeee tunakufa bila kujijiuaa  inabidi tuamike na tusake chapaa na tuokoe kitaaaaaa...eee Mungu utusaidieeee
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...